TANGAZO


Wednesday, October 31, 2012

Rais Kikwete azindua Kiwanda cha kusindika tangawizi Mamba Miamba

 

Rais Jakaya Kikwete, akiangalia chupa ya tangawizi iliyotayari kuuzwa mara baada ya Rais  kufungua rasmi kiwanda cha kuzalisha Tangawizi kinachomilikiwa na Umoja wa Walima Tangawizi Mamba katika Kijiji cha Goha, Kata ya Mamba Miamba Wilayani Same, mkoani Kilimanjaro jana.
 
 
 
 
 
 
Rais Jakaya Kikwete akimsikiliza Meneja wa Kiwanda cha Tangawizi, kinachomilikiwa na Umoja wa Walima Tangawizi Mamba, Mhandisi Aim Luvanda, wakati amkimkaribisha kufungua kiwanda cha kusindika Tangawizi.
 
Rais Jakaya Kikwete akifungua rasmi kiwanda cha kusindika tangawizi katika Kijiji cha Goha, Kata ya Mamba Miamba, wilayani Same, mkoani Kilimanjaro jana. Kushoto ni Meneja wa Kiwanda cha Tangawizi, kinachomilikiwa na Umoja wa Walima Tangawizi Mamba, Mhandisi Aim Luvanda na Kulia ni Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Anne Kilango Malecela ambaye amefanikisha ujenzi wa kiwanda hicho kwa asilimia kubwa.
 
 
 
 
Rais Jakaya Kikwete akipeana mkono na Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Anne Kilango Malecela ambaye amefanikisha ujenzi wa kiwanda hicho mara baada ya Rais Kikwete kufungua rasmi kiwanda hicho, katika Kijiji cha Goha. Kata ya Mamba Miamba, wilayani Same, mkoani Kilimanjaro jana. Kushoto ni Meneja wa Kiwanda cha Tangawizi, kinachomilikiwa na Umoja wa Walima Tangawizi Mamba, Mhandisi Aim Luvanda.
 
 
Rais Jakaya Kikwete akikata utepe kufungua rasmi langop kuu la Kiwanda hicho.
Rais Jakaya Kikwete akikagua uzalishaji wa Tangawizi mara baada kufungua rasmi kiwanda cha kusindika Tangawizi kinacho milikiwa na Ushirika wa wakulima wa Tangawaizi katika Kata ya Mamba Miamba wilayani Same, mkoani Kilimanjaro jana.
Rais Jakaya Kikwete akimsikiliza Meneja wa Kiwanda cha Tangawizi, kinachomilikiwa na Umoja wa Walima tangawizi Mamba, Mhandisi Aim Luvanda (kushoto), juu ya shughuli za uzalishaji mara baada ya Rais Kikwete kufungua rasmi kiwanda hicho katika Kijiji cha Goha, Kata ya Mamba Miamba wilayani Same, mkoani Kilimanjaro jana. Kulia ni Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Anne Kilango Malecela ambaye amefanikisha ujenzi wa kiwanda hicho kwa asilimia kubwa.
Rais Jakaya Kikwete akioneshwa chupa ya tangawizi iliyotayari kwa kuuzwa. Kushoto ni Meneja wa Kiwanda cha Tangawizi, kinachomilikiwa na Umoja wa Walima tangawizi Mamba, Mhandisi Aim Luvanda akimpa maelezo juu ya shughuli za uzalishaji mara baada ya Rais Kikwete kufungua rasmi kiwanda hicho katika Kijiji cha Goha, Kata ya Mamba Miamba, wilayani Same, mkoani Kilimanjaro juzi.
 
Rais Kikwete akisalimina na wananchi wa rika mbalimbali waliofurika katika uiwanja wa michezo wa Goha kata ya Mamba Miamba kumsikiliza.
Rais Kikwete akisalimina na wananchi wa rika mbalimbali waliofurika katika uiwanja wa michezo wa Goha kata ya Mamba Miamba kumsikiliza.
 
Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi cheti cha shukrani Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Anne Kilango Malecela kwa kufanikisha ujenzi wa Kiwanda cha kusindika tangawizi katika Kata ya Mamba Miamba Wilayani Same, Mkoani Kilimanjaro. Rais Kikwete alifungua kiwanda hicho jana.
Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Anne Kilango Malecela, akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara kabla ya Rais Kikwete kuhutubia hadhara hiyo.
 
 
Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia wakazi wa Kata ya Mamba Miamba wilayani Same, mkoani Kilimanjaro jana.

No comments:

Post a Comment