| Baadhi ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania Wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipowahutubia kwenye mahafali ya Chuo hicho yaliyofanyika Kibaha, Oktoba 27, 2012. |
Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), John Samwel Malecela akimtunuku Shahada ya Uongozi wa Biashara, Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda katika Mahafali ya chuo hicho, yaliyofanyika kwenye viwanja vya chuo juzi, Oktoba 27, 2012, Kibaha mkoani Pwani.

No comments:
Post a Comment