|
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, akipanda kwenye treni jana katika Stesheni ya Pugu Mwakanga wakati wa uzinduzi usafiri wa treni wa abiria jijini Dar es Salaam kwa njia ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara).Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tazara, Damas Ndumbaro.
|
No comments:
Post a Comment