Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kisalimiana na Wabunge wa Viti Maalum, Martha Mlata (mwenye nguo nyekundu) na Diana Chilolo (mwenye vazi jeusi) pamoja na wageni wao ambao ni wachungaji kutoka Singida, kwenye viwanja vya Bunge, mjini Dodoma Agust 9, 2012. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Tetra ya mjini Arusha, walipotembelea Bunge leo, Agust 9, 2012, mjini Dodoma.

No comments:
Post a Comment