TANGAZO


Tuesday, July 10, 2012

Wapemba waliokimbilia Somalia na kuomba hifadhi, wawasili nyumbani

 Boti ilyowabeba wananachi wa Kisiwa cha Pemba waliokimbilia Somalia na kuomba hifadhi ikielekea kisiwani humo juzi.
 
 Mmoja wa Viongozi wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR), akiwa amembeba mtoto wa mmoja wa Wananchi waliokuwa nchini Somali kwa ukimbizi walipowasili bandari ya Mkoani kwa Boti ya Sea Bus juzi.
Wananchi hao wakiwa bandari ya Mkoani Kisiwani Pemba baada ya kuwasili na boti ya Sea Bus juzi.
 
  Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Juma Kassin Tindwa, akisalimiana na baadhi ya Wananchi waliokuwa nchini Somali kwa ukimbizi walipowasili bandari ya Mkoani Pemba kwa Boti ya Sea Bus.
 
Rashid Abdalla Said, akitoa shukrani kwa uongozi wa UNHCR na Serekali ya Tanzania kwa Ushirikiano na Serekali ya Somali na Serekali ya Zanzibar kwa kuwafikisha nyumbani kwa usalama wakiwa katika bandari ya Mkoani kisiwani Pemba. (Picha na mdau wetu)

No comments:

Post a Comment