waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati wa hafla ya kukabidhi
zawadi ya sh. milioni 50, kwa mshindi wa promosheni ya Airtel MZUKA, Khadija Omaria (kulia), Ofisi za Airtel, barabara ya Ali Hassan Mwinyi na Morocco. Kushoto ni Afisa Mawasiliano wa Airtel, Dangio Kaniki. (Picha na mpigapicha wetu)
sh. milioni 5o, kwa mshindi wa pili wa promosheni ya
Airtel MZUKA, Khadija Omari Issa. Katikati ni Ofisa Mawasiliano
wa Airtel, Dangio Kaniki.
akionyesha cheki yake ya sh. milioni 50, alizojishindia katika
promosheni kabambe ya Airtel MZUKA, inayoendeshwa na Airtel, wakati wa hafla ya makabidhiano, yaliyofanyika Ofisi Kuu za Airtel, Dar es salaam leo Februari 22, 2012.
akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, mara baada ya kukabidhiwa hundi yake ya sh. milioni 50, Ofisi Kuu ya Airtel, Dar es salaam leo.

No comments:
Post a Comment