TANGAZO


Friday, March 23, 2018

TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) KUSHIRIKIANA NA TAASISI YA OPEN HERT INTERNATIONAL (OHI) YA AUSTRALIA KUFANYA KAMBI YA UPASUAJI WA MOYO KWA WATOTO NA WATU WAZIMA NCHINI

Madaktari Bingwa wa magonjwa ya Moyo kwa watoto kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)na wenzao wa  Taasisi ya Open Heart International (OHI) ya nchini Australia wakifanya  upasuaji wa kuziba tundu la moyo wa mtoto leo katika kambi ya siku sita ya matibabu ya moyo inayoendelea katika Taasisi hiyo. Hadi sasa jumla ya wagonjwa 18 wamefanyiwa upasuaji kati ya hao watoto 11 watu wazima saba. 
Madaktari Bingwa wa magonjwa ya Moyo kwa watoto kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)na wenzao wa  Taasisi ya Open Heart International (OHI) ya nchini Australia wakifanya  upasuaji wa kuziba tundu la moyo wa mtoto leo katika kambi ya siku sita ya matibabu ya moyo inayoendelea katika Taasisi hiyo. Hadi sasa jumla ya wagonjwa 18 wamefanyiwa upasuaji kati ya hao watoto 11 watu wazima saba. 
Afisa Muuguzi wa chumba cha wagonjwa waliopo katika uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Andrew Kabeho na Afisa Uhusiano  wa Taasisi ya Open Heart International (OHI) ya nchini Australia Jo Hyde wakimuhoji Leah John mkazi wa Shinyanga ambaye mtoto wake amefanyiwa upasuaji wa kuziba matundu mawili ya moyo jinsi alivyoifikia JKCI na kuweza kupata huduma ya matibabu.
Afisa Muuguzi wa chumba cha wagonjwa waliopo katika uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Andrew Kabeho na Afisa Uhusiano  wa Taasisi ya Open Heart International (OHI) ya nchini Australia Jo Hyde wakimuhoji Leah John mkazi wa Shinyanga ambaye mtoto wake amefanyiwa upasuaji wa kuziba matundu mawili ya moyo jinsi alivyoifikia JKCI na kuweza kupata huduma ya matibabu. 

No comments:

Post a Comment