Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Nanghenjwa Kaboyoka (Kulia) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Aeshi Hilary wakimsikiliza mjumbe wa Kamati hiyo Mheshimiwa Ezekiel Maige akichangia wakati kamati yao ilipokuwa ikichambua na kujadili Taarifa ya Ukaguzi Maalum uliofanyika katika Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA pamoja na Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa kwa mwaka wa fedha unaishia June 30, 2016.
Wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali PAC wakiendelea na kikao wakati leo walikuwa wakichambua na kujadili Taarifa ya Ukaguzi Maalum uliofanyika katika Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA pamoja na Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa kwa mwaka wa fedha unaishia June 30, 2016.
No comments:
Post a Comment