Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo (kulia) akizungumza wakati wa kikao na Balozi wa Finland Nchini, Pekka
Hukka (katikati). Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,
Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo (kulia) akizungumza alipokutana na Balozi wa Finland Nchini, Pekka
Hukka (kushoto). Balozi Hukka alimtembelea Waziri Muhongo Ofisini kwake, Makao
Makuu ya Wizara ya Nishati na Madini Jijini Dar es Salaam ili kuzungumza
masuala mbalimbali ikiwemo uboreshaji wa Sekta ya Nishati nchini.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo (kulia) akipeana mkono na Balozi wa Finland Nchini Tanzania, Pekka
Hukka wakati Balozi huyo alipomtembelea Waziri Muhongo Ofisini kwake Jijini Dar
es Salaam.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo (kulia) akizungumza katika kikao na Balozi wa Finland Nchini, Pekka
Hukka (kushoto).
Balozi wa Finland Nchini, Pekka Hukka (kushoto)
akizungumza na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.(Picha zote na Mohamed Seif, Nishati na Madini)

No comments:
Post a Comment