Korea kusini inasema itahimiza kuwekwa kwa vikwazo dhabiti ili kuizuia Korea Kaskazini.

Serikali za Marekani na korea kusini zimeanza kufanya uchunguzi wa hewa na bahari kuchunguza athari ya vifaa vya mionzi vilivyotumika katika jaribio hilo, na kubaini ni silaha gani iliyofanyiwa majaribio.
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa lilikutana na kutoa taarifa ya kuikosoa vikali majaribio hayo ya Korea Kaskazini.

No comments:
Post a Comment