Taarifa kwa Umma
Katika kuazimisha “WIKI YA UTUMISHI
WA UMMA” yenye kauli mbiu “Uongozi
wa Umma kwa ukuaji Jumuishi: kuelekea katika Afrika tunayoitaka”, Ofisi ya
Taifa ya Takwimu inawajulisha wananchi na wadau wote kuwa imetenga siku ya
Jumanne tarehe 28 Juni, mwaka huu, kuwa siku maalumu ya kukutana na wananchi
ili kutoa elimu na kusikiliza hoja na maoni kuhusu utoaji wa takwimu rasmi
nchini.
Muda ni kuanzia saa 3.00 Asubuhi hadi saa 9.00 Alasiri katika ukumbi wa
Ofisi ya Taifa ya Takwimu Makao Makuu.
KARIBUNI WOTE
ImetolewanaMkurugenzi Mkuu,
OfisiyaTaifayaTakwimu.
24June, 2016
No comments:
Post a Comment