Picha ya Profesa Rezaul Siddique
Profesa mmoja wa Bangladesh ameuliwa na mtu anayeshukiwa kuwa mpiganaji wa Kislamu.
Polisi katika mji wa Rajshahi, kaskazini magharibi mwa nchi, wanasema Rezaul Karim Siddique, ambaye alikuwa profesa wa Kiingereza, alishambuliwa kwa mapanga, wakati akisubiri basi.Jamaa zake wanasema, alikuwa mhariri wa gazeti kuhusu vitabu, na alianzisha shule ya muziki.
Mwili wa Professa Rezaul
lakini mwenzake Professor Siddique, anasema msomi huyo hakupata kuandika au kuzungumza hadharani dhidi ya dini.

No comments:
Post a Comment