Serena Williams na Angelique Kerber
Mchezaji anayeorodheshwa wa kwanza duniani katika tenisi ya wanawake Serena Williams ameshtumu matamshi ya mwandalizi mmoja wa mchezo huo kwamba wachezaji wanawake katika mecho huo wanawategemea sana wanaume.
Williams alisema matamshi yake yanawatusi wanawake ambao hawana haja ya kumpigia magoti mtu yeyote.

No comments:
Post a Comment