TANGAZO


Thursday, March 24, 2016

Mc Hale Kuchuana na Serena


Serena Williams kukipga na MC Hale
Mcheza Tenesi Christina Mc Hale raia wa Marekani amemshinda Misaki Doi wa japani katika michuano ya wazi ya Miami.
Kwa ushindi huo nyota huyu wa tenesi atachuana na nyota namba moja wa kwa ubora wa mchezo huo Serena Williams, katika raundi inayofuata.
Katika raundi nyingine Mfaransa Alize Cornet alimshinda Galina Voskoboeva wa Kazakhstan hivyo mfaransa huyu atachuana na Agnieszka Radwanska, huku Julia Goerges wa Ujerumani akimshinda Nao Hibino wa Japani na hivyo atacheza na Samantha Stosur raia wa Austalia katika mchezo unaofuata..

No comments:

Post a Comment