TANGAZO


Monday, November 23, 2015

Ziara ya Papa Francis Kenya


Image captionPapa Francis

Serikali ya Kenya imethibitisha kukamilika kwa maandalizi ya kumpokea kiongozi wa kanisa katoliki papa Francis.
Imebaki siku tatu tu kwa kiongozi huyo wa kanisa kuwasili nchini Kenya, huku viongozi wa kanisa la katoliki nchini humo pia wakithibitisha hilo.
Hii ni ziara ya kwanza ya Papa Francis barani Afrika, ambapo mbali na Kenya, pia ataitembelea Uganda na Jamhuri ya Afrika ya Kati.

No comments:

Post a Comment