Mkurugenzi Mtendaji wa
Kampuni ya Digital Opportunity Trust Bw. Eliguard Dawson akizungumza na
wananchi wa Mtaa wa Mbagala Zakheem uliopo wilayani Temeke leo wakati wa
tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na
Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke.
Afisa Vijana wa Kituo cha Vijana UMATI –Temeke jijini Dar es Salaam akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na Kituo hicho na kufanyika katika Mtaa wa Mbagala Zakheem uliopo wilayani Temeke leo
Baadhi ya Vijana wakifuatilia maigizo kutoka kwa makundi mbalimbali ya vijana yaliyokuwa yakutoa elimu ya kuhusu afya ya uzazi na jinsia kwa nija ya sanaa ya maigizo wakati wa tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke leo
Kikundi cha sanaa kutoka kundi la Mkubwa na Wanawe wakiigiza kuhusu matumizi ya njia za uzazi wa mpango wakati wa tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke na kufanyika katika mtaa wa Mbagala Zakheem leo
Kikundi cha sanaa kutoka kundi la Mkubwa na Wanawe wakiigiza kuhusu matumizi ya njia za uzazi wa mpango wakati wa tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke na kufanyika katika mtaa wa Mbagala Zakheem leo
Kikundi cha sanaa kutoka kundi la Mkubwa na Wanawe wakiigiza kuhusu matumizi ya njia za uzazi wa mpango wakati wa tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke na kufanyika katika mtaa wa Mbagala Zakheem leo.
Kikundi cha sanaa cha
Ndio Sisi Group wakiigiza kuhusu matumizi ya njia za uzazi wa mpango wakati wa
tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na
Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke na kufanyika katika mtaa wa Mbagala
Zakheem leo.
Kikundi cha sanaa cha Ndio Sisi Group wakiigiza kuhusu matumizi ya njia za uzazi wa mpango wakati wa tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke na kufanyika katika mtaa wa Mbagala Zakheem leo.
Afisa Vijana wa Kituo cha Vijana UMATI –Temeke jijini Dar es Salaam akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na Kituo hicho na kufanyika katika Mtaa wa Mbagala Zakheem uliopo wilayani Temeke leo
Baadhi ya Vijana wakifuatilia maigizo kutoka kwa makundi mbalimbali ya vijana yaliyokuwa yakutoa elimu ya kuhusu afya ya uzazi na jinsia kwa nija ya sanaa ya maigizo wakati wa tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke leo
Kikundi cha sanaa kutoka kundi la Mkubwa na Wanawe wakiigiza kuhusu matumizi ya njia za uzazi wa mpango wakati wa tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke na kufanyika katika mtaa wa Mbagala Zakheem leo
Kikundi cha sanaa kutoka kundi la Mkubwa na Wanawe wakiigiza kuhusu matumizi ya njia za uzazi wa mpango wakati wa tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke na kufanyika katika mtaa wa Mbagala Zakheem leo
Kikundi cha sanaa kutoka kundi la Mkubwa na Wanawe wakiigiza kuhusu matumizi ya njia za uzazi wa mpango wakati wa tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke na kufanyika katika mtaa wa Mbagala Zakheem leo.
Kikundi cha sanaa cha Ndio Sisi Group wakiigiza kuhusu matumizi ya njia za uzazi wa mpango wakati wa tamasha la Jamvi la Vijana lililoandaliwa na Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke na kufanyika katika mtaa wa Mbagala Zakheem leo.
Mmoja wa vijana
waliohudhuria Jamvi la vijana lililoandaliwa na
Kituo cha Vijana cha UMATI –Temeke na kufanyika katika mtaa wa Mbagala
Zakheem akipata huduma ya ushauri nasaha ambayo ilikuwa ikitolewa bure wakati
wa tamasha hilo leo. (Picha zote na Frank Shija,
WHVUM)
Na Frank Shija, WHVUM
ZAIDI ya asilimia 74 ya
watu walio kwenye ndoa wamepata elimu ya Afya ya Uzazi na Jinsia nchini
Tanzania.
Haya yamebanishwa na
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Digital Opportunity Trust ya jijini Dar es
Salaam Eliguard Dawson alipokuwa mgeni rasmi wakati wa tamasha la Jamvi la
Vijana lililofanyika leo jijini Dar es Salaam katika Viwanja vya Mbagala Zakhem.
Dawson alisema kuwa
elimu kuhusu afya ya uzazi imekuwa ikitolewa toka enzi za mababu zetu ambapo
wanaume walikuwa wanapelekwa jandoni wakati wanawake wanaenda unyagoni ambapo
elimu mbalimbali kuhusu makuzi zilitolewa kwa vijana.
“Suala hili la elimu
kuhusu afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana si jambo geni kwani limekuwa
likitolewa toka enzi za mababu zetu”. Alisema Dawson.
Kwa upande wake Afisa
Vijana wa Kituo cha Vijana UMATI kilichopo Temeke jijini Dar es Salaam Bi.
Upendo Daud alisema kuwa pamoja na nia njema ya UMATI kutoa bure elimu ya afya
ya uzazi na jinsia kwa vijana lakini wamekuwa wakikumbana na changamaoto
kadhaa.
Ametaja kuwa changamoto
kubwa wanayo kumbana na nayo ni wazazi wengi kupokea elimu hiyo kwa hisia hasi
jambo ambalo linawapa wakati mgumu wa kufikia malengo yao ambayo ni kufikia
idadi ya vijana 200 katika kila Jamvi la Vijana wanaloendesha.
Upendo ameongeza kuwa
pamoja na changamoto hizo wamekuwa wakifanya jitihada za makusudi ili
kuhakikisha wazazi nao wanapata hamasa kuhusu elimu hiyo na hatimaye kutoa
fursa kwa vijana wao wawezekushiriki vyema katika kupata elimu juu ya afya ya
azazi na jinsia.
UMATI kupitia kituo
chake cha vijana cha Temeke jijini Dar es Salaam wamekuwa wakiandaa na
kuendesha mtamasha ya vijana yaliyopewa jina la Jamvi la Vijana ambayo huwa na
kauli mbiu mbalimbali ambapo katika Jamvi la mwezi huu ni “Elimu ya afya ya
uzazi na jinsia kwa vijana inajenga au ina moboma maadili?”

No comments:
Post a Comment