Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa wa mbio za Tigo Kili Half Marathon wanawake Grace Kimanzi zawadi ya shilingi milioni mbili kutoka kwa Tigo wadhamini wa mbio hizo.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa wa mbio za Tigo Kili Half Marathon wanaume Ismail Juma kutoka Babati zawadi ya shilingi milioni mbili kutoka kwa Tigo wadhamini wa mbio hizo.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Mathias Chikawe akimkabidhi zawadi David Ruto mshindi wa Kilimanjaro Premium Lager Marathon (Km 42.2) zawadi ya shilingi milioni nne kutoka kwa wadhamini wakuu wa Kilimanjaro Marathon bia ya Kilimanjaro Premium Lager. Kushoto ni James Bokella, Meneja Mauzo na Usambazaji TBL Kanda ya Kusini.
Mshindi wa Tigo Kili Half Marathon wanaume (21.1km), Ismail Juma akimaliza mbio za Kilimanjaro Marathon jana mjini Moshi.
Mshindi wa Kilimanjaro Premium Lager
Marathon wanawake (42.2km), Fabiola William akimaliza mbio za Kilimanjaro
Marathon leo mjini Moshi.

No comments:
Post a Comment