Mkurugenzi Msaidizi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kutoka Idara ya Mandeleo ya Vijana Dk. Steven Kissui aliyenyoosha mikono akielezea jambo kwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Iramba kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Halima Mpita akiongea na ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Micheo ambao upo Wilayani humo katika kuvijengea uwezo vikundi vya Vijana ili waweze kujikwamua na umasikini.
Mkurugenzi Msaidizi kutoka Wizara ya Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo akiongea jambo na Washiriki kutoka Vikundi mbalimbali vya
Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba ikiwa ni sehemu ya juhudi za Wizara
kuwajengea uwezo vijana.
No comments:
Post a Comment