Mwenyekiti wa Kamati ya Watalaam wa Fedha, Uchumi, Mipango
na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama
wa AU na EAC Dkt. Hamisi Mwinyimvua ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Fedha akiwasilisha ripoti ya kamati hiyo kwenye Mkutano wa Mawaziri wa
Fedha,Uchumi,Mipango na Ushirikiano wa Kikanda unaoendelea Mjini AddisAbaba
–Ethiopia.
Tuesday, March 31, 2015
Tanzania yawasilisha Ripoti ya Kamati Wataalamu wa Fedha, Uchumi , Mipango na Ushirikiano wa Kikanda katika mkutano wa Mawaziri wa Fedha, Uchumi na Ushirikiano wa Kikanda wa nchi wanachama wa AU na EAC jijini Addis Ababa nchini Ethiopia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment