TIMU zinazoshiriki mashindano ya kuwania ubingwa wa netiboli klabu bingwa Afrika Mashariki zikipita mbele ya mgeni rasmi,
Waziri wa Habari , Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar, Said Ali
Mbarouk wakati wa ufunguzi wa mashindano hayo, yalioanza leo katika Uwanja wa
Gymkhana, mjini Zanzibar. (Picha zote na Haroub Hussein).
Timu ya Zanzibar ikipita katika ufunguzi huo mjini Zanzibar leo. Timu ya Kenya ikipita.
Uhamiaji ya Tanzania ikipita mbele ya Waziri na wageni mbalimbali.
JKT Ruvu ya Tanzania ikipita
Timu ya Uganda KCCA
No comments:
Post a Comment