TANGAZO


Friday, March 13, 2015

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), yawahoji viongozi wa Tanesco

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Zitto Kabwe akiongoza kikao cha kamati hiyo  jijini Dar es Salaam, wakati  wa uwasilishi wa hesabu za Shirika la Umeme la Tanzania (Tanesco), lilipowasilisha hesabu zake. Kulia ni Mbunge wa  Tabora Mjini, Ismail Aden Rage. 
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Zitto Kabwe akiongoza kikao cha kamati hiyo  jijini Dar es Salaam, wakati  wa uwasilishi wa hesabu za Shirika la Umeme la Tanzania (Tanesco), lilipowasilisha hesabu zake. Kulia ni Mbunge wa  Tabora Mjini, Ismail Aden Rage.
Mwenyekiti wa Bodi  ya Tanesco, Dk. Mighanda  Manyihi akijitambulisha kwa wajumbe  kamati ya  kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) katika kikao cha kuwasilisha hesabu za shirika hilo kilichofanyika jijini Dar es Salaam,kulia  kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco Mhandisi. Felchesmi Mramba. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco Mhandisi. Felchesmi Mramba, akijitambulisha kwa wajumbe  kamati ya  kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) katika kikao cha kuwasilisha hesabu za shirika hilo kilichofanyika jijini Dar es Salaam, kushoto ni  Mwenyekiti wa Bodi  ya Tanesco, Dk. Mighanda  Manyihi. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco Mhandisi. Felchesmi Mramba, akiwasilisha  ripoti ya hesabu za shirika hilo kwa wajumbe  kamati ya  kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) katika kikao cha  kilichofanyika jijini Dar es Salaam, kushoto ni  Mwenyekiti wa Bodi  ya Tanesco, Dk. Mighanda  Manyihi. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco Mhandisi. Felchesmi Mramba, akiwasilisha  ripoti ya hesabu za shirika hilo kwa wajumbe  kamati ya  kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) katika kikao cha  kilichofanyika jijini Dar es Salaam, kushoto ni  Mwenyekiti wa Bodi  ya Tanesco, Dk. Mighanda  Manyihi. 
Wajumbe wa kamati ya  kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiwa katika kikao cha kamati hiyo   kilichofanyika jijini Dar es Salaam, ambapo Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)liliwasilisha ripoti ya hesabu zake.
 Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kutoka Sudani Kusini wakifuatilia utendaji kazi wa kamati ya  kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kwa upande wa Tanzania, katika kikao  kilichofanyika jijini Dar es Salaam, ambapo Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)liliwasilisha ripoti ya hesabu zake.
Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kutoka Sudani Kusini wakifuatilia utendaji kazi wa kamati ya  kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kwa upande wa Tanzania, katika kikao  kilichofanyika jijini Dar es Salaam, ambapo Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)liliwasilisha ripoti ya hesabu zake. ( Picha zote na Lorietha Laurence-Maelezo)

No comments:

Post a Comment