Ofisa Tawala wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Mussa Varisanga akielezea jambo wakati wa kikao cha pamoja na washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam.
Friday, February 27, 2015
Wafanyakazi Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo waelezea namna wizara yao inavyoweza kufanikisha mkakati wa Kitaifa kuhusu matumizi ya kondom
Ofisa Tawala wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo Bw. Mussa Varisanga akielezea jambo wakati wa kikao cha pamoja na
washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa
Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni
Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw.Moses Muwonge. (Picha zote na Frank Shija, WHVUM)
Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw.Moses Muwonge
akizungumza na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo (hawapo pichani) wakati wa kikao cha pamoja kujadili kuhusu Mkatati wa
Taifa wa Matumizi ya Condom unaoratuibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam.
Kushoto ni Mshauri kutoka taasisi ya AMCA Bw. Patrick Kauyamwenge.
Mwakilishi wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS)
Dkt. Ngaiza Alex akizungumza wakati wa kikao cha pamoja baina ya maafisa kutoka
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na washauri kuhusu masuala ya
Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa
na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Mshauri wa Kimataifa
kutoka Uganda Bw. Moses Muwoge na Mshauri kutoka taasisi ya AMCA Bw. Patrick
Kauyamwenge.
Ofisa Habari wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo Bibi. Zawadi Msalla (katikati) akielezea jambo wakati wa kikao cha
pamoja na washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa
wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam.
Ofisa Tawala wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Mussa Varisanga akielezea jambo wakati wa kikao cha pamoja na washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam.
Ofisa Tawala wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Mussa Varisanga akielezea jambo wakati wa kikao cha pamoja na washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






No comments:
Post a Comment