Wawasilishaji kutoka kampuni ya PUSH OBSERVER wakiwaeleza maafisa mawasiliano huduma wanazotoa ikiwamo ufuatiliaji wa taarifa mbalimbali kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii pia utoaji wa taarifa wa jumbe kupitia mitandao ya simu(Bulk messages)
Mwenyekiti wa Muda wa Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini(TAGCO) Bw. Innocent Mungy akitoaa taarifa futi ya utekelezaji wa kazi wa chama hicho kwa Maafisa Mawasiliano wakati wa ufungaji wa kikao kazi cha Maafisa ha oleo Mkoani Mtwara.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Bi. Sihaba Nkinga akiwaeleza Maafisa Mawasiliano Serikalini umuhimu wa kuwa na
ushirikiano na vyombo vya Habari kwa dhumuni la kuieleza jamii nini serikali
inakifanya, pia aliwataka kuendelea kuongeza juhudi katika utendaji kazi
kupitia mafunzo waliyoyapata katika kikao kazi hiki.
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Bw.Johansen Bukwari akiongea
na Maafisa Mawasiliano Serikalini ambapo alisisitiza umuhimu wa Maafisa
Mawasiliano kutoa taarifa za Serikali kwa Umma.
Afisa Mawasiliano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Bw. Atley
Kuni akitoa neno la Shukrani kwa Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw.Johansen
Bukwari.
Baadhi ya Maafisa Mawasiliano wa Serikali wakiwa katika
picha ya Pamoja na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Bw. Bw.Johansen Bukwari (aliyevaa
Kaunda suti) kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Bw. Assah
Mwambene.(Picha zote na Hassan
Silayo)








No comments:
Post a Comment