TANGAZO


Saturday, December 27, 2014

Lowassa amtembelea Waziri wa Mambo ya Ndani wa zamani, Ali Ameir Mohamed

Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa, akikaribishwa nyumbani na Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi mstaafu Ali Ameir Mohamed alipomtembelea nyumbani kwake kumjulia hali eneo la Kichaviani, Jimbo la Donge, Zanzibar leo. Mhe. Lowassa yuko visiwani Zanzibar kwa mapumziko ya Krismasi.
Mazungumzo ya Lowassa na Ameir Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa (kushoto), akielezwa jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani wa zamani, Ali Ameir Mohamed wakati Lowassa alipomtembelea nyumbani kwake eneo la Kichaviani, Jimbo la Donge, Zanzibar kumjulia hali leo.
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa, akimuaga Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi mstaafu Ali Ameir Mohamed alipomtembelea nyumbani kwake kumjulia hali eneo la Kichaviani, Jimbo la Donge, Zanzibar leo. Mhe. Lowassa yuko visiwani Zanzibar kwa mapumziko ya Krismasi. (Picha zote na Mpigapicha Wetu, Zanzibar)

No comments:

Post a Comment