Mwenyekiti wa Shirika hilo, Stephen Mashishanga, akichangia mada katika kongamano hilo.
Dk. Ernest Rugiga akitoa mada kuhusu afya ya uzazi.
Mwezeshaji Victor Mulimila akizungumzia kwa ujumla kuhusu vitendo vya ukatili. Kulia ni Dk. Ernest Rugiga.
Wanahabari waliokuwepo kwenye kongamano hilo, wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi wa Bwalo la JKT, mkoani humo.
Maofisa wa Shirika la Seed Trust wakiwa kwenye kongamano hilo.
Baadhi ya washiriki wa kongamano hilo, wakisikiliza mada zilizokuwa zikiwasilishwa.
Baadhi ya washiriki wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa kwenye kongamano hilo. (Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com)

No comments:
Post a Comment