TANGAZO


Tuesday, November 25, 2014

Obama atuma Salamu za Kumtakia Heri na Afya Njema Rais Kikwete

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barrack Obama leo, mjini Baltimore Maryland.
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barrack Obama leo, mjini Baltimore Maryland.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akimshukuru Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula baada ya kumkabidhi salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barrack Obama leo, mjini Baltimore Maryland.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akimshukuru Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula baada ya kumkabidhi salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barrack Obama leo, mjini Baltimore Maryland.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na  baadhi ya wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani uliopo Washington D.C. wakati walipomtembelea mjini Baltimore, Maryland, ambapo balozi Liberata Mulamula aliwasilisha kwa Rais Kikwete Salamu maalum za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais Barrack Obama leo. (Picha zote na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment