TANGAZO


Saturday, October 4, 2014

Maelfu wajitokeza Tunduru kumpokea Profesa Lipumba

Dereva Boda boda ambao ni wananchama wa Chama cha Wananchi CUF wakiongoza msafara wa mapokezi ya Prof Ibrahim Lipumba mara tu alipo wasili Wilayani Tunduru akitokea Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma.Lipumba yupo Mikoa ya Kusini inayojumuisha Ruvuma, Lindi na Mtwara  kwa  ziara ya siku 16 

ikiwa na dhumuni la kuimarisha chama pamoja na kuhamasisha   

wananchi  kujitokeza  katika daftari  la wapiga kura na 

vitambulisho vya Taifa.
Huu ni umati wa watu waliojipanga barabarani kumpokea Prof. Ibrahim Lipumba.
Wakazi wa Tunduru ambao ni wanachama wa Chama cha Wananchi CUF, wakiwa katika msafara waMwenyekiti wa chama  hicho, Prof. Ibrahim Lipumba.
Wanachama wa Chama cha Wananchi CUF wakiwa katika msafara wa mapokezi ya Mwenyekiti wa chama hicho, Prof. Ibrahim Lipumba.
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Prof Ibrahim Lipumba 

mwenye shati jekundu na kofia nyekundu  akiwapungia mkono 

wanachama wa chama cha CUF mara tu  baada ya kufika katika 

Ofisi za CUF Wilaya ya Tunduru, Mkoani Ruvuma.
 Polisi wakiwa katika ulinzi wa Prof Ibrahim Lipumba.
Naibu Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Uchaguzi na Bunge wa Chama cha Wananchi (CUF), Shaweji Mketo akiwahutubia  wakazi wa Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma,kutokufanya makosa  

wakati wauchaguzi wa serikali  za mitaa uliotangazwa  kufanyika 

Disemba 14 mwaka huu wahakikishe wanakipigia Chama cha 





Wananchi CUF.

No comments:

Post a Comment