Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nchemba Mkoani
Dodoma Bw. Boniface Mandi akiongea na Timu ya Maafisa Vijana kutoka Wizara ya
Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo kabla ya kufungua Mafunzo ya Vijana wa
Wilaya hiyo kuhusu Mikopo kupitia Mfuko
wa Maendeleo ya Vijana, kulia ni Afisa Vijana Bi Amina Sanga.
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nchemba Mkoani
Dodoma Bw. Boniface Mandi akifungua
Mafunzo ya Vikundi vya Vijana wa
Halmashauri ya Wilaya ya Nchemba kuhusu Mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya
Vijana.Mafunzo hayo yanatolewa na kuratibiwa na Wizara ya Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo
Vijana
wa Wilaya ya Nchemba Mkoani Dodoma wakimsiliza mwezeshaji (hayupo pichani) Bi.
Amina Sanga katika Mafunzo ya Vijana wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kuhusu
Mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya VijanaOfisa wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Amina Sanga akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nchemba Mkoani Dodoma Sera ya Taifa ya Maendeleo.
No comments:
Post a Comment