TANGAZO


Wednesday, July 2, 2014

SSRA yawapiga msasa wadau wa mikoani wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii

Ofisa Habari wa Idara ya Habari, Maelezo, Fatuma Salum (kulia), akizungumza katika hafla ya kuwakaribisha Maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde (kushoto) na Stewart Bisanda (hayupo pichani), katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati alipokuwa akielezea pamoja na mambo mengine majukumu na wajibu wa mamlaka hiyo kwa jamii, ikiwemo pia safari zilizofanywa na viongozi wa mamlaka hiyo, mikoani kwa ajili ya kuwapiga msasa wadau wa sekta ya hifadhi ya jamii kwa kuwaelimisha kujiunga na mifuko waipendayo kwa faida yao ya sasa na ya baadaye. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa SSRA, Stewart Bisanda.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati alipokuwa akiwaelezea pamoja na mambo mengine majukumu na wajibu wa mamlaka hiyo kwa jamii, ikiwemo pia safari zilizofanywa na viongozi wa mamlaka hiyo, mikoani kwa ajili ya kuwapiga msasa wadau wa sekta ya hifadhi ya jamii kwa kuwaelimisha kujiunga na mifuko waipendayo kwa faida yao ya sasa na ya baadaye. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa SSRA, Stewart Bisanda.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati alipokuwa akiwaelezea pamoja na mambo mengine majukumu na wajibu wa mamlaka hiyo kwa jamii, ikiwemo pia safari zilizofanywa na viongozi wa mamlaka hiyo, mikoani kwa ajili ya kuwapiga msasa wadau wa sekta ya hifadhi ya jamii kwa kuwaelimisha kujiunga na mifuko waipendayo kwa faida yao ya sasa na ya baadaye. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa SSRA, Stewart Bisanda na kulia ni Ofisa Habari wa Idara ya Habari, Maelezo, Fatuma Salum.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde (katikati kushoto), akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati alipokuwa akiwaelezea pamoja na mambo mengine majukumu na wajibu wa mamlaka hiyo kwa jamii, ikiwemo pia safari zilizofanywa na viongozi wa mamlaka hiyo, mikoani kwa ajili ya kuwapiga msasa wadau wa sekta ya hifadhi ya jamii kwa kuwaelimisha kujiunga na mifuko waipendayo kwa faida yao ya sasa na ya baadaye. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa SSRA, Stewart Bisanda na kulia ni Ofisa Habari wa Idara ya Habari, Maelezo, Fatuma Salum.
Baadhi ya waandishi wa habari, wakimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, wakati alipokuwa akizungumza na nao, Dar es Salaam leo, akiwaelezea pamoja na mambo mengine, majukumu na wajibu wa mamlaka hiyo kwa jamii, ikiwemo pia safari zilizofanywa na viongozi wa mamlaka hiyo, mikoani kwa ajili ya kuwapiga msasa wadau wa sekta ya hifadhi ya jamii kwa kuwaelimisha kujiunga na mifuko waipendayo kwa faida yao ya sasa na ya baadaye. 
Baadhi ya waandishi wa habari, wakinukuu maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, wakati alipokuwa akizungumza na nao, Dar es Salaam leo kuhusu mamlaka hiyo kwa jamii. 
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati alipokuwa akiwaelezea pamoja na mambo mengine majukumu na wajibu wa mamlaka hiyo kwa jamii, ikiwemo pia safari zilizofanywa na viongozi wa mamlaka hiyo, mikoani kwa ajili ya kuwapiga msasa wadau wa sekta ya hifadhi ya jamii kwa kuwaelimisha kujiunga na mifuko waipendayo kwa faida yao ya sasa na ya baadaye. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa SSRA, Stewart Bisanda na kulia ni Ofisa Habari wa Idara ya Habari, Maelezo, Fatuma Salum.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, katika mkutano huo. 
Baadhi ya wapiga picha wa vyombo mbalimbali vya habari, wakichukua picha wakati Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, akizungumza na nao, Dar es Salaam leo, alipokuwa akiwaelezea pamoja na mambo mengine majukumu na wajibu wa mamlaka hiyo kwa jamii, ikiwemo pia safari zilizofanywa na viongozi wa mamlaka hiyo, mikoani kwa ajili ya kwenda kuwapiga msasa wadau wa sekta ya hifadhi ya jamii kwa kuwaelimisha kujiunga na mifuko waipendayo kwa faida yao ya sasa na ya baadaye. 
 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati alipokuwa akiwaelezea pamoja na mambo mengine majukumu na wajibu wa mamlaka hiyo kwa jamii, ikiwemo pia safari zilizofanywa na viongozi wa mamlaka hiyo, mikoani kwa ajili ya kuwapiga msasa wadau wa sekta ya hifadhi ya jamii kwa kuwaelimisha kujiunga na mifuko waipendayo kwa faida yao ya sasa na ya baadaye. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa SSRA, Stewart Bisanda.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde (katikati kushoto), akisikilza maswali yaliyokuwa yakiulizwa na waandishi wa habari kuhusiana na mamlaka hiyo, majukumu na wajibu wake kwa jamii. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa SSRA, Stewart Bisanda na kulia ni Ofisa Habari wa Idara ya Habari, Maelezo, Fatuma Salum.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde (katikati), akisikilza maswali yaliyokuwa yakiulizwa na waandishi wa habari kuhusiana na mamlaka hiyo, majukumu na wajibu wake kwa jamii. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa SSRA, Stewart Bisanda na kulia ni Ofisa Habari wa Idara ya Habari, Maelezo, Fatuma Salum.
Baadhi ya waandishi wa habari, wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, wakati alipokuwa akizungumza na nao, Dar es Salaam leo kuhusu mamlaka hiyo kwa jamii. 


KAMA ilivyoainishwa katika Sheria Na. 8 ya mwaka 2008, kifungu cha 5 moja ya majukumu ya  Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) ni kutoa elimu kwa umma kuhusu sekta ya Hifadhi ya Jamii na umuhimu wa wananchi kujiunga na Mifuko ya Hifadhi ya jamii kwa faida yao ya sasa na ya baadae.
Katika kufanikisha jukumu la kutoa elimu kwa umma, Mamlaka imetembelea mikoa  (10)  kwa kipindi cha wiki mbili ambayo ni Dar es salaam, Dodoma, Iringa, Lindi, Morogoro, Mwanza, Mara, Shinyanga, Tabora, na Singida.
Katika semina hizo zililenga yafuatayo:
Kuhakikisha kuwa inalinda, kutetea na kuendeleza maslahi ya wanachama wa sekta ya Hifadhi ya Jamii. Mamlaka kupitia kifungu cha 30 cha Sheria ya SSRA inawakumbusha waajiri,wafanyakazi na wananchi wote yafuatayo;
Waajiri
·       Kusajili wafanyakazi wao katika Mifuko ya Hifadhi ya jamii kutokana na matakwa ya mfanyakazi huku wakizingatia kifungu namba 30 cha sheria ya SSRA kinachoeleza kuwa kila mwajiri anatakiwa kuwaandikisha wafanyakazi wake katika mifuko ya Hifadhi ya jamii.
·       Kuwasilisha michango ya wafanyakazi kwenye Mifuko kwa wakati kama ilivyoamriwa kisheria.
·       Kutowalazimisha wanachama kuingia katika mifuko ya Hifadhi ya jamii ambayo mwajiri anataka
·       Kutoingia mikataba maalumu na mifuko ya Hifadhi ya jamii kuhusu uandikishaji wanachama
Wafanyakazi na Wananchi wote
Hifadhi ya Jamii ni haki ya kila mtu kama ilivyoainishwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Mwaka 1977 Ibara na 11(1), Mkataba wa Kimataifa wa Mwaka 1948 kuhusu Haki za Binadamu, Mikataba ya Shirika la Kazi Duniani (ILO) pamoja na Sera ya Hifadhi ya Jamii ya Mwaka 2003.
Hivyo kila mwananchi ana haki ya kujiunga na Mfuko wowote wa Hifadhi ya Jamii ili afaidike na mafao yanayotolewa na Mfuko husika.
Mwanachama wa Hifadhi ya jamii ana wajibu ufuatao;
·       Kila  mwananchi ana uhuru wa kujiunga na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ili aweze kunufaika na Mafao mbalimbali yatolewayo na Mifuko hiyo
·       Kufuatilia michango yote kama inawasilishwa kwenye Mfuko anaochangia
·       Kuhakikisha kuwa anapata kadi ya uanachama wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii aliojiunga nao
·       Kupata mafao anayostahili kwa mujibu wa sheria iliyoundaMfuko wa Hifadhi ya Jamii aliojiunga nao.

Katika kipindi cha mwezi mmojaMamlaka imeweza kutoa elimu kwa  wadau zaidi ya 10,000 wakiwemw;
·       Makatibu Tawala na Maafisa kutoka katika idara mbalimbali za mikoa husika
·       Maafisa  wa na watumishi Jeshi la Polisi ambao ni wanachama wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii
·       Wanafunzi wa vyuo vikuu,
·       Wawakilishi kutoka vyama mbalimbali vya wafanyakazi (TUCTA) Mabaraza ya Wafanyakazi wa mashirika mbalimbali ya Umma na Serikali
·       Wasanii na Wajasiliamali 
·       Vile vile MamlakaImeshiriki katika maonesho ya wanafunzi wa vyuo vikuu

·       Maonesho ya OSHA na Mei mosi

Mamlaka inaendelea na zoezi la utoaji wa elimu kwa Umma kuzunguka nchini nzima na kwa mwezi huu Mamlaka imejipanga kutembelea mikoa  mitano ambayo ni Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara na Kagera.
Mwelekeo wa Mamlaka;
Ni mategemeo ya Mamlaka kuwa katika kipindi cha miaka 5 ijayo;
·       Sekta itakuwa endelevu  na kukua;
·       Elimu ya Hifadhi ya Jamii itakuwa imewafikiwa Watanzania wengi zaidi
·       Wigo wa Hifadhi ya Jamii utakuwa mpana zaidi
·       Kutakuwa na idadi kubwa ya mifuko ya hiariya Hifadhi ya Jamii;
·       Mifuko itakuwa na mafao bora zaidi na endelevu;
·       Ukuaji wa Mifuko ya hifadhi ya Jamii na mahusiano na  mamlaka zinginezo za sekta ya hifadhi ya Jamii.
Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii imeundwa kwa sheria Na. 8 ya 2008 ,kama ilivyorekebishwa . Jukumu  kuu likiwa  ni Kusimamia, na Kuboresha utendaji wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii nchini.

Imetolewa na;
Idara ya Mahusiano na Mawasilano
Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii


No comments:

Post a Comment