Balozi
wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe.
Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo kwa Mkuu wa Utawala na
Fedha wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka siku ya
Jumatatu June 9, 2014 Waziri wa Nishati na Madini na ujumbe wake
walipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani ulipo mtaa wa 22,
jijini Washington, DC.
Balozi
wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe.
Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo kwa Rais wa Jumuiya ya
Watanzania DMV, Bwn. Idd Sandaly siku ya Jumatatu June 9, 2014 Waziri
wa Nishati na Madini na ujumbe wake walipotembelea Ubalozi wa Tanzania
nchini Marekani ulipo mtaa wa 22, jijini Washington, DC.
|
No comments:
Post a Comment