TANGAZO


Tuesday, June 24, 2014

Washindi wa TMT kutoka Kanda ya Ziwa na Nyanda za juu Kusini wawasiliDar es Salaam tayari kwa safariya kushindania Sh. milioni50

Washindi wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) kutoka Kanda ya Ziwa wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere, Jijini Dar es Salaam jana kwaajili ya Kuingia kambini tayari kwa safari ya kushindania Milioni 50 katika fainali itakayofanyika mwishoni mwa Mwezi wa Nane.
Washindi wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) kanda ya Nyanda za Kusini, Stephen Mapunda(mwenye kofia nyekundu) na Mtawa Kaparata (mwenye fimbo) wakiwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere jana tayari kwa safari ya kushindania Shilingi Milioni 50 za Kitanzania
Washindi wa Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini wakibadilishana Mawazo wakati walipowasili katika uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere, Jijini Dar Es Salaam jana.
Washindi wa Tanzania Movie Talents (TMT) wakielekea kwenye basi la TMT tayari kwa kupelekwa kwenye Hoteli kwaajili ya Kupumzika mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere, Jijini Dar Es Salaam. (Picha zote na Josephat Lukaza)

No comments:

Post a Comment