TANGAZO


Thursday, April 24, 2014

Rais Jakaya Kikwete ziarani Karatu

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Karatu wakimkaribisha kwa shangwe Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakati alipowasili mjini humo ambapo alifungua jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wananchi wa Karatu muda mfupi baada ya kuwasili mjini hapo ambapo alifungua jengo la Halmashauri,Kufungua jengo la TRA wilaya na kuzindua mradi wa maji.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiteta na mtoto mwenye ulemavu Meshack Amos kutoka katika kijiji cha Kansay wilayani Karatu.Mtoto huyo alimweleza Rais kuwa amemaliza darasa la saba na hakupata fursa ya kuendelea na masomo Rais Kikwete ameahidi kumsomesha. (Picha zote na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment