TANGAZO


Wednesday, April 23, 2014

Mabondia Juma Biglee, Mwaite Juma waendeleza ubabe Chalinze

Bondia Juma Biglee (kulia), akimshambulia kwa makonde Jack Simela wakati wa mpambano wao wa masumbwi uliofanyika jana katika ukumbi wa Ndelema Inn, Chalinze mjini, Mkoa wa Pwani. Katika mpambano huo, Biglee alishinda kwa point. (Picha zote na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Bondia Juma Biglee (kulia) na Jack Simela wakishambuliana kwa makonde, wakati wa mpambano wao, uliofanyika jana katika ukumbi wa Ndelema Inn, Chalinze mkoani Pwani.
Bondia Juma Biglee akinyooshwa mkono juu baada ya kumshinda Jack Simela wa Chalinze.
Bondia Mwaite Juma (kushoto), akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Godfrey Sadiki 'Pacho Mawe', wakati wa mpambano wao, uliofanyika jana katika ukumbi wa Ndelema Inn, Chalinze, mkoani Pwani. Bondia Mwaite Juma alishinda kwa pointi.  
Bondia Mwaite Juma (kushoto), akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Godfrey Sadiki 'Pacho Mawe', wakati wa mpambano wao, uliofanyika jana katika ukumbi wa Ndelema Inn, Chalinze, mkoani Pwani. Katika mpambano huo, Juma alishinda kwa pointi.

No comments:

Post a Comment