TANGAZO


Friday, February 14, 2014

Umoja wa Wabunge wanaosimamia Hifadhi ya Mazingira na Ulinzi wa Wanyamapori, Tembo na Faru, wazungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam

Mwenyekiti wa Umoja  wa  Wabunge wanaosimamia Hifadhi ya Mazingira na Ulinzi wa Wanyamapori Tembo na Faru, Riziki Lolida (katikati), ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum  Mkoa wa Lindi, akizungumza na waandishi wa habari leo, jijini Dar es Salaam, kuhusu juhudi za Serikali na Umoja huo katika kupambana na vitendo vya ujangili. Kulia ni Mbunge wa Jimbo la Kilindi, Beatrice Shellukindo. Kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Dole,  Sylvester Mabumba, ambaye pia ni Katibu wa Umoja huo. 
Mbunge  Jimbo la Kilindi Beatrice Shellukindo (kulia)akifafanua jambo wakati wa mkutano wa umoja huo uliofanyika leo jijini Dares Salaam.Kushoto ni Mwenyekiti wa umoja  wa  wabunge wanaosimamia hifadhi ya mazingira na ulinzi wa wanyamapori  Tembo na Faru  Riziki Lolida ,ambaye pia ni Mbunge wa  Viti Maalum Lindi. 
Baadhi wa wabunge wa umoja huo wakiwa katika mkutano huo jijini Dares Salaam. (Picha zote na Magreth Kinabo - Maelezo)

No comments:

Post a Comment