TANGAZO


Sunday, October 20, 2013

Twalib Mchanjo amgalagaza Kelvin Majiba

Bondia Twalibu Mchanjo (kushoto), akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Kelvin Majiba wakati wa mchezo wao uliofanyika Gongolamboto,  Mzambarauni, Dar es Salaam. Mchanjo alishinda kwa point mchezo huo. (Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Bondia Twalibu Mchanjo (kushoto), akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Kelvin Majiba wakati wa mchezo wao uliofanyika Gongolamboto, Mzambarauni, Dar es Salaam. Mchanjo alishinda kwa point mchezo huo.
Bondia Twalibu Mchanjo akishangilia ushindi baada ya kumdunda Kelvin Majiba kwa point.
Bondia Emanuel Philomon (kushoto), akimtwanga makonde bondia Gaspar Hinde, wakati wa mpambano wao, uliofanyika Gongo la Mboto Mzambarauni. Philomon alishinda kwa K.O ya raundi ya nne. 
Bondia Abdul Zugo (kushoto), akipambana na Hassani Manula, wakati wa mpambano wao, uliofanyika Gongolamboto, Dar es Salaam. Mabondia hao, walitoka nguvu sawa.

No comments:

Post a Comment