Jenenza lenye mwili wa mamake Ufoo Saro likitolewa Kanisani kwa ajili ya kupelekwa makaburini lwa mazishi Machame, Moshi, mkoani Kilimanjaro leo.
Waombolezaji wakilibeba
kulipaleka makaburini jeneza lenye mwili wa mama yake, Ufoo Saro.
Jeneza lililobeba mwili wa
marehemu Anastazia Saro, likiwekwa kaburini.
Mkuu wa jimbo la
Hai, Aminirabi Swai akiongoza ibada ya maziko katika makaburi ya kanisa hilo na
kisha kuweka shada la maua katika kaburi la marehemu Anastazia
Saro.
Mkuu wa jimbo la
Hai, Aminirabi Swai akiongoza ibada ya maziko katika makaburi ya kanisa hilo na
kisha kuweka shada la maua katika kaburi la marehemu Anastazia
Saro.
mwakilishi wa serikali katika
maziko ya marehemu Anastazia Saro ,mkuu wa wilaya ya Hai Novatus Makunga akiweka
shada la Maua katika kaburi.
Mtoto Alvis Anthery akiweka
shada la maua katika kaburi la Bibi yake marehemu Anastazia Saro. (Picha zote na Dixon
Busagaga)
No comments:
Post a Comment