TANGAZO


Wednesday, May 22, 2013

Kamati ya Taifa Stars yaimwagia Stars sh. mil. 30


 Dewji, Zitto na Dk. Dau wakijadili jambo kwenye hafla hiyo
  Wachezaji wa Taifa Stars
Dewji akizungumza katika hafla hiyo kwa kuwahamasisha wachezaji kushinda mechi zote watakazokabiliana nazo
 Manoti hayooooooooo
 Nahodha wa Taifa Stars Juma Kaseja akifurahi jambo na wajumbe wa kamati hiyo
Kaseja akitoa shukurani na kuahidi ushindi
 Mrisho Ngassa akitambulishwa kwa wanakamati kwamba hivi sasa anachezea Yanga.

Wachezaji wakisalimiana na wajumbe wa kamati



Viongozi wa Taifa Stars wakisalimiana na wanakamati
 Kocha wa Taifa Stars akifurahia jambo na wanakamati baada ya kutetta
 Kocha wa Taifa Stars Kim Poulsen akiteta jambo na wanakamati
 Wachezaji wakipata mlo katika hotel ya Tansoma walikoweka kambi.

No comments:

Post a Comment