Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi akimkabidhi Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Kitambukisho cha Taifa katika hafla, iliyofanyika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo.
|
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akimkabidhi Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi kitambulisho chake cha taifa katika viwanja vya Karimjee leo, jijini Dar es Salaam.
|
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akimkabidhi Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa kitambulisho chake cha taifa katika viwanja vya Karimjee leo.
|
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akimkabidhi Rais mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume kitambulisho chake cha taifa katika viwanja vya Karimjee leo.
|
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akimkabidhi Askofu Malasusa wa KKKT, kitambulisho chake cha Taifa.
|
Rais Kikwete, akimkabidhi kada wa CCM, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, kitambulisho chake cha Taifa.
|
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akimkabidhi Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhaj Elihad Salum, kitambulisho cha Taifa.
|
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba kitambukisho chake cha Taifa, wakati wa uzinduzi huo.
|
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani Dau kitambulisho chake cha Taifa leo, katika viwanja vya Karimjee.
|
Rais Dk. Jakaya Kikwete, akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Eriyo, kitambulisho chake cha Taifa.
|

No comments:
Post a Comment