TANGAZO


Friday, February 8, 2013

Rais Kikwete ahudhuria mkutano wa SADC, nchini Msumbiji

Rais Dk. .Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake, Rais Armando Emilio Guebuza wa Msumbiji, alipowasili  jijini Maputo leo. Rais Kikwete yupo Msumbiji kuhudhuria Kikao cha Viongozi wa Jumuiya ya Uchumi Kusini mwa Afrika (SADC) nchini humo. (Picha zote na Freddy Maro)
Rais Dk. .Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto), akizungumza jambo na mwenyeji wake, Rais Armando Emilio Guebuza wa Msumbiji, alipowasili  jijini Maputo leo. Rais Kikwete yupo Msumbiji kuhudhuria Kikao cha Viongozi wa Jumuiya ya Uchumi Kusini mwa Afrika (SADC) nchini humo.
Rais Dk. .Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mazungumzo na mwenyeji wake Rais Armando Emilio Guebuza wa Msumbiji katika Ikulu ya jijini Maputo leo. Rais Kikwete yupo Msumbiji kuhudhuria kikao cha viongozi wa Jumuiya ya Uchumi Kusini mwa Afrika (SADC) nchini humo. 

No comments:

Post a Comment