| Bibi Shamba wa Kata ya Itenka, Grace Hokororo, akipokea zawadi ya sh. 305,000, kutoka kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ambazo zilichangwa papo hapo na watu alioandamana nao, ili kumpongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya kwenye shamba darasa. Wa pili kulia ni Joseph Laurent, anayesimamiwa na bibi shamba huyo, ambaye shamba lake lilikaguliwa na Waziri Mkuu katika kijiji cha Itenka, wilayani Mlele, Mkoa wa Katavi. Pia aliahidiwa kupatiwa pikipiki ili imsaidie kutembelea vijijiji vingine, vinne anavyovisimamia. |
No comments:
Post a Comment