TANGAZO


Wednesday, January 9, 2013

Rais Dk. Shein afungua Shule ya Sekondari ya Madungu kisiwani Pemba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na viongozi mbalimbali, alipowasili kufungua Shule ya Sekondari ya Madungu, Wilaya ya Chake chake, Pemba leo, katika kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi  ya Zanzibar. (Picha zote na Ramadhan Othman, Ikulu)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akikata utepe kufungua Shule ya Sekondari ya Madungu, Wilaya Chake chake, Pemba leo, katika kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi  ya Zanzibar. Kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Ali Juma Shamuhuna.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua Shule ya Sekondari ya Madungu, Wilaya Chake chake, Pemba leo, katika kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea maabara ya Shule ya Sekondari ya Madungu, Wilaya Chake chake, Pemba leo, baada ya kuifungua rasmi katika shamrashamra za maadhimisho ya miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea katika chumba cha maktaba  ya Shule ya Sekondari ya Madungu, Wilaya Chake chake, Pemba leo, baada ya kuifungua rasmi katika kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

No comments:

Post a Comment