Mwenyekiti wa Jukwaa la Mamlaka na Taasisi zinazosimamia na kudhibiti Ubora wa Elimu nchini, Profesa Sifuni Mchome, ambaye pia ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU), akitoa maoni ya jukwaa hilo, kuhusu Katiba Mpya katika mkutano na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, uliofanyika ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam leo, Jumapili, Jan. 13, 2013. Kulia ni Wajumbe wa Tume, Awadh Said na Humphrey Polepole.
|
No comments:
Post a Comment