TANGAZO


Thursday, January 10, 2013

Wahariri, Baraza la Habari waitembelea Tume ya Katiba

Katibu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,  Assaa Rashid (wa pili kulia), akitoa ufafanuzi kuhusu uhifadhi wa maoni ya maandishi yanayowasilishwa na wananchi katika tume kwa wadau wa Taasisi za Habari nchini, walipotembelea Ofisi za tume hiyo. Taasisi zilizotembelea Tume ya Katiba ni pamoja na Baraza la Habari Tanzania (MCT), Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari (MOAT), Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) na Jukwaa la Wahariri (TEF), leo  leo, Januari 10, 2013, jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Tume ya Katiba)
Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Hanifa Masaninga, akitoa ufafanuzi kuhusu uandaaji wa maoni ya wananchi na kuwa Kitengo cha Taarifa Rasmi (Hansard) kwa ujumbe wa Taasisi za Habari nchini walipotembelea Ofisi za tume hiyo. Taasisi zilizotembelea Tume ya Katiba ni pamoja na Baraza la Habari Tanzania (MCT), Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari (MOAT), Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) na Jukwaa la Wahariri (TEF), leo  leo, Januari 10, 2013, jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mohammed Khamis Hamad, akitoa ufafanuzi kuhusu mfumo wa uchambuzi wa maoni ya wananchi kwa Ujumbe wa Taasisi za Habari nchini walipotembelea Ofisi za tume hiyo. Taasisi zilizotembelea Tume ya Katiba ni pamoja na Baraza la Habari Tanzania (MCT), Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari (MOAT), Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) na Jukwaa la Wahariri (TEF), leo  leo, Januari 10, 2013, jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment