TANGAZO


Friday, January 25, 2013

Tanzania yasaidiwa Sh. shilingi bilioni 28.2 kwa ajili ya Barabara za Dar es Salaam


Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa (kushoto) na Balozi wa Japan hapa nchini, Masaki Okada (kulia), wakisaini msaada,
ambapo Serikali ya Japan imeipatia Tanzania msaada wa shilingi bilioni 28.2 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mitatu ya uboreshaji wa usafiri jijini Dar es Salaam na Kilimo hapa nchini. Msaada huo, umesainiwa leo, jijini Dar es Salaam na Balozi wa Japan hapa nchini, Masaki Okada kwa niaba ya Japan na Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa kwa niaba yaSerikali ya Tanzania. (Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO- Dar)

Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa (kushoto) na Balozi wa Japan hapa nchini, Masaki Okada (kulia), wakisaini msaada,
ambapo Serikali ya Japan imeipatia Tanzania msaada wa shilingi bilioni 28.2 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mitatu ya uboreshaji wa usafiri jijini Dar es Salaam na Kilimo hapa nchini. Msaada huo, umesainiwa leo, jijini Dar es Salaam na Balozi wa Japan hapa nchini, Masaki Okada kwa niaba ya Japan na Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa kwa niaba yaSerikali ya Tanzania .
 

Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa (kushoto) na Balozi wa Japan hapa nchini Masaki Okada (kulia), wakibadilishana hati za msaada ambapo Serikali ya Japan imepatia Tanzania msaada wa shilingi bilioni 28.2 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mitatu ya uboreshaji wa usafiri jijini Dar es salaam na kilimo hapa nchini. Msaada huo umesainiwa leo, jijini Dar es Salaam na Balozi wa Japan hapa nchini, Masaki Okada kwa niaba ya Japan na Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa kwa niaba ya Serikali ya Tanzania .

Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo katika picha ), jijini Dar es Salaam leo, mara baada ya kusaini msaada na Balozi wa Japan hapa nchini, Masaki Okada (kulia), ambapo Japan imeipatia Tanzania msaada wa shilingi bilioni 28.2 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mitatu ya maendeleo.

Balozi wa Japan hapa nchini Masaki Okada (kulia), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo katika picha ), leo, jijini Dar es Salaam mara baada ya kusaini msaada  ambapo Japan imeipatia Tanzania msaada wa shilingi bilioni 28.2 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mitatu ya maendeleo. Kushoto ni Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa.

Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa (kulia), akizungumza na waandishi wa habari, mara baada kusaini msaada kwa ajili ya ujenzi wa barabara za jiji, Dar es Slaam leo na Balozi wa Japani nchini, Masaki Okada
Balozi wa Japan hapa nchini, Masaki Okada (kulia), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo katika picha ), jijini Dar es Salaam leo, wakati wa kusaini mkataba huo kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa barabara mkoani Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa.

Balozi wa Japan hapa nchini, Masaki Okada (kulia), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo katika picha ), jijini Dar es Salaam leo, wakati wa kusaini mkataba huo kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa barabara mkoani Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa.


Balozi wa Japan hapa nchini, Masaki Okada (kulia), akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo katika picha), jijini Dar es Salaam leo, picha ya muonekano wa mikutano ya TAZARA, mara baada barabara za juu kwa juu zitakapokamilika baada ya kusaini na Serikali ya Tanzania na kuipa msaada wa shilingi bilioni 28.2 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mitatu ya maendeleo. Kushoto ni Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa.

Balozi wa Japan hapa nchini, Masaki Okada (kulia), akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo katika picha), jijini Dar es Salaam leo, picha ya muonekano wa mikutano ya TAZARA, mara baada barabara za juu kwa juu zitakapokamilika baada ya kusaini na Serikali ya Tanzania na kuipa msaada wa shilingi bilioni 28.2 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mitatu ya maendeleo. Kushoto ni Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa.
Balozi wa Japan hapa nchini, Masaki Okada (kulia), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo katika picha ), jijini Dar es Salaam leo, wakati wa kusaini mkataba huo kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa barabara mkoani Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa.


Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa akizungumza na waandishi wa habari, mara baada ya kusaini yeye na Balozi wa Japan hapa nchini, Masaki Okada (kulia), msaada wa sh. bil.28.2 jijini Dar es Salaam leo.

 

No comments:

Post a Comment