Mwenyekiti wa mkutano wa tathmini ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2012, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Sihaba Nkinga, akiongoza mkutano huo leo, mjini Zanzibar. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Ali Nassoro Lufunga, Mkoa ambao ulikua mwenyeji wa kilele cha mbio za Mwenge Kitaifa kwa mwaka 2012.
|
No comments:
Post a Comment