KHERI YA MWAKA MPYA 1/1/2013
Tunawatakia
kheri ya mwaka mpya Wanzazibar na Watanzania wote pamoja na Waafrika na Duniani
kote uwe ni Mwaka wa Mafanikio na Maendeleo kwa jamii na wanajamii wote
ulimwenguni.kama vile Wanawake na watoto, wazee wasiojiweza , walemavu , pamoja
na wagonjwa wote tukiwaombea wapone haraka ili waungane na jamii kwa Maendeleo
ya Taifa Kheri ya Mwaka mpya kwa upande wa Zanzibar tunawaomba Wadumishe Amani
na Utulivu na Upendo kwa dhana ile ile mkubwa kumuheshimu mdogo na mdogo kumueshimu
mkubwa. Sambamba na kufuata Sheria , Katiba na Haki za Binaadamu kwa mujibu wa
Sheria ili kulipeleka Taifa letu mbele kwa maendeleo ukizingatia Mendeleo ya
kweli yanapatika katika utawala wa sheria ambao kwa sasa Watanzania wote
wanafuata utwala wa sheria na watu wote wako chini ya sheria na hakuna walokuwa
juu ya sheria kwa mujibu wa sheria.
Ahsante
KHERI YA MWAKA MPYA 2013
RASHID
YUSSUF MCHENGA
MKURUGENZI
MIPANGO NA UENDESHAJI SERA AFP
TEL
NO 0773 560243 0715 560243

No comments:
Post a Comment