Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),
Abdulrahman Kinana akizungumza katika kikao chake cha Sekretarieti na Makatibu
wa CCM wa Mikoa leo, Desemba 10, 2012, katika ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi
Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Kulia ni Naibu Katibu
Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba.
 |
| Katibu wa CCM, Mkoa wa
Arusha, Mary (kushoto), akihudhuria kikao hicho pamoja na makatibu
wenzake |
 |
| Katibu wa Sekretaiieti Uchumi na
Fedha, Zakia Meghji (kushoto), akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, Mwigulu
Nchemba, wakati wa kikao hicho. |
 |
| Makatibu wa CCM kutoka
mikoani wakiwa katika kikao hicho. |
Baadhi ya Makatibu wa Mikoa wakijadili jambo wakati wa kikao hicho. (Picha zote na Kamanda wa Matukio Blog)
No comments:
Post a Comment