TANGAZO


Monday, November 5, 2012

Mashabiki wa Simba wakusanyika na mabango Makao Makuu ya Klabu, wawataka Kaburu na Kaseja kuondoka baada ya kulambishwa mbili kavu na Mtibwa Sugar


Mashabiki wa timu ya Simba wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali, Makao Makuu ya klabu hiyo, Mtaa wa Msimbazi jijini Dar es Salaam leo, kuonesha hasira zao baada ya timu hiyo kusuasua katika michezo yake ya Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara, ambayo ilifungwa mabao 2-0 na Mtibwa Sugar, kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
 
 
 
 
 
 
Ujumbe kwa golikipa wa Simba, Juma Kaseja.
 
Mashabiki wa timu ya Simba wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali, Makao Makuu ya klabu yao, Mtaa wa Msimbazi jijini Dar es Salaam leo, kuonesha hasira zao baada ya timu hiyo kusuasua katika michezo yake ya Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara, ambayo ilifungwa bao 2-0 na Mtibwa Sugar, kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana.

Pilika pilika Makao Makuu ya klabu ya Simba, Msimbazi jijini Dar es Salaam.   (Picha kwa hisani ya na Habari Mseto Blog)

No comments:

Post a Comment