TANGAZO


Friday, November 2, 2012

Baraza la Habari Zanzibar latoa ufafanuzi kuhusu kuripoti habari za UAMSHO zenye lengo la kuvunja amani

 Meneja wa Baraza la Habari kanda ya Zanzibar (MCT), Suleiman Seif Omar akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani), kuhusu tamko la Tume ya Utangazaji Zanzibar kupiga marufuku kuripoti taarifa za UAMSHO, zenye kuashiria uvunjifu amani. Kushoto ni Kaimu Katibu Mtendaji wa MCT, John Mireny. (Picha zote na Makame Mshenga Makame-Maelezo Zanzibar)

Kaimu Katibu Mtendaji wa (MCT), John Mireny akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani), kuhusu tamko la Tume ya Utangazaji Zanzibar, kukifungia chombo cha TV na Radio.

Kaimu Katibu Mtendaji wa MCT, John Mireny akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari mjini Zanzibar kuhusu tamko la Tume ya Utangazaji Zanzibar, kukifungia chombo cha TV na Radio iwapo kitaripoti habari za UAMSHO zenye kuashiria uvunjifu wa amani.


Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia kwa makini juu ya ufafanuzi uliotolewa na Kaimu Katibu Mtendaji wa MCT, John Mireny huko katika ukumbi wa MCT, uliopo Mlandege mjini Zanzibar leo .

No comments:

Post a Comment