Beki
wa Yanga, Mbuyi Twite akimpongeza Nadir Haroub ‘Canavaro’ baada ya kufungia timu
yake bao la kwanza dhidi ya Mgambo ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka
Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo.
Yanga ilishinda 3-0.
Mshambuliaji wa Yanga Simon Msuva akimpongeza
Nadir Haroub baada ya kufunga bao la kwanza,
Didier
Kavumbagu na Ramadhan Malima wa Mgambo kwenye mchezo wakichuana katika mchezo
huo.



No comments:
Post a Comment